Siasa Podcast. Lonyangapuo: Kibaki alinikuza kisiasa

Siasa
Apr. 23, 2022

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Wiki hii katika Siasa Podcast tunaangazia maisha ya Hayati Mwai Kibaki ambaye alikuwa Rais wa tatu wa Taifa la Kenya. Kibaki anakumbukwa kuwa kiongozi aliyebuni mbinu mbalimbali za kuinua uchumi wa taifa na kukabili chagamoto zilizokumba taifa. Aidha, alizipa nafasi jamii ambazo zilihisi kutengwa wakati wake nafasi uongozini. Faith Kutere amezungumza na Gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi, John Lonyangapuo ambaye anadai kuwa safari yake ya kisiasa ilianza baada ya Mwai Kibaki kutambua jamii yake na kumpa nafasi ya kwanza ya uongozi akiwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Viwanda.

Share this episode
MEDIA AND THE COMING ADMINISTRATION
Clay Muganda and Godfrey Ombogo, editors in the Standard group. They talk about Media and the comin...
Success Strategies from Dennis Njenga, Managing Partner at Kaka Empire | Business Insights
Welcome to The Late Night Business podcast. During today's episode, we host Dennis Njenga, the Manag...
.
RECOMMENDED NEWS