Siasa Podcast. Lonyangapuo: Kibaki alinikuza kisiasa
Siasa
Apr. 23, 2022
Wiki hii katika Siasa Podcast tunaangazia maisha ya Hayati Mwai Kibaki ambaye alikuwa Rais wa tatu wa Taifa la Kenya. Kibaki anakumbukwa kuwa kiongozi aliyebuni mbinu mbalimbali za kuinua uchumi wa taifa na kukabili chagamoto zilizokumba taifa. Aidha, alizipa nafasi jamii ambazo zilihisi kutengwa wakati wake nafasi uongozini. Faith Kutere amezungumza na Gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi, John Lonyangapuo ambaye anadai kuwa safari yake ya kisiasa ilianza baada ya Mwai Kibaki kutambua jamii yake na kumpa nafasi ya kwanza ya uongozi akiwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Viwanda.
RELATED EPISODES
Hali ya siasa Afrika Mashariki na mizozo ya DRC na Sudan: Kulikoni Podcast
Je, hanshake ingine ndio suluhu la Kenya?
Nilikuwa darasa moja na Dr. Ruto, Rais Mteule
Daily Brief Podcast; Is Uhuru learning from DP Ruto? Episode 1
MEDIA AND THE COMING ADMINISTRATION
Clay Muganda and Godfrey Ombogo, editors in the Standard group. They talk about Media and the comin...Success Strategies from Dennis Njenga, Managing Partner at Kaka Empire | Business Insights
Welcome to The Late Night Business podcast. During today's episode, we host Dennis Njenga, the Manag...LATEST PODCAST
-
Remembering Njambi Koikai: A Tribute to an Endometriosis Warrior.
-
Njambi Koikai, mwanahabari maarufu, amefariki baada ya kupigana na ugonjwa wa endometriosis kwa miaka 25.
-
The Fallacy Of Public Participation In Kenya - GATHONI WAMUCHOMBA
-
Uongozi wa Wanawake: Kutimiza Ndoto za Uongozi wa Kike Kenya
-
Has Ruto Lost Mt. Kenya?- Fanya Mambo Kinuthia Explains