Kisa Changu Podcast: Nabaguliwa kwa kuwa nina ulemavu wa ngozi 'albinism'
Kisa Changu
Jun. 18, 2022
Denis Kazungu ni mwenye ulemavu wa ngozi yaani albinism. Kazungu mwenye umri wa miaka 29 na ambaye ni mkazi wa Malindi-Airport, Kilifi anasema hali yake imemsababishia changamoto nyingi tangu alipozaliwa hadi sasa. Kazungu amepitia unyanyapaa; amebaguliwa si tu na jamii bali pia kwenye maeneo ya kazi akisema ulemavu wake umesababisha kampuni nyingi kutilia shaka uwezo wake wa kutekeleza majukumu. Je, amefanikiwa vipi na hata kupiga hatua maishani licha ya changamoto hizo? Sikiliza masimulizi yake katika makala yafuatayo ya ''Kisa Changu Podcast'' na Robert Menza.
RELATED EPISODES
Eliot Berry, Mwingereza anayependelea kuishi Kenya| Kisa Changu Podcast
Familia zatafuta wapendwa wao, Kilifi | Kisa Changu Podcast
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...Floods Ravage Kenya
This week on In Case You Missed It, Stacy Maina, Njambi Gaitho, Raymond Muthee, and Molly Chebet bri...LATEST PODCAST
-
Mafuriko Yanabainisha Udhaifu wa Serikali na Miundombinu Duni
-
Clout Chasers: Gen Z & The Price of Fame
-
Emerging Legal Trends In Employee Discipline: Suspension, Termination and Dismissal- Kepher Ojijo
-
Avocado Tax: We Haven't Changed Tune, The Problem Is The Messaging Of The Finance Law- Edward Muriu
-
Mayday! Nairobi in Crisis as Floods Devastate the City