Kisa Changu Podcast: Nabaguliwa kwa kuwa nina ulemavu wa ngozi 'albinism'

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Denis Kazungu ni mwenye ulemavu wa ngozi yaani albinism. Kazungu mwenye umri wa miaka 29 na ambaye ni mkazi wa Malindi-Airport, Kilifi anasema hali yake imemsababishia changamoto nyingi tangu alipozaliwa hadi sasa. Kazungu amepitia unyanyapaa; amebaguliwa si tu na jamii bali pia kwenye maeneo ya kazi akisema ulemavu wake umesababisha kampuni nyingi kutilia shaka uwezo wake wa kutekeleza majukumu. Je, amefanikiwa vipi na hata kupiga hatua maishani licha ya changamoto hizo? Sikiliza masimulizi yake katika makala yafuatayo ya ''Kisa Changu Podcast'' na Robert Menza.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Floods Ravage Kenya
This week on In Case You Missed It, Stacy Maina, Njambi Gaitho, Raymond Muthee, and Molly Chebet bri...
.
RECOMMENDED NEWS