Je, unafaa kukutana na mpenzi wa mtandaoni baada ya muda gani? | Vijana na Mapenzi.

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mitandao ya kijamii siku hizi imeanza kutumiwa na watu wengi kuwatafuta wachumba. Je, ni muda upi unaostahili kuchukua kabla ya kukutana ana kwa ana na mchumba wa mtandaoni? Tumewashirikisha wananchi katika gumzo hili wakiwamo vijana waliojaribu mapenzi ya mtandaoni vilevile mshauri kulihusu suala hili.

Share this episode
Uphill task of changing presidential term limit
Fafi Member of Parliament Salah Yakub kicked off a storm by saying some UDA lawmakers are working on...
Ruto Aambia Dunia KQ ni Ghali Kuliko Ndege Binafsi
Rais William Ruto amejitetea kuhusiana na hatua yake kutumia ndege ya kibinafsi kusafiri hadi nchini...
.
RECOMMENDED NEWS