Gumzo la Wiki Podcast: Mawe Kondele; Ruto alaumiwa

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Naibu wa Rais William Ruto abebeshwa lawama kuhusu vuruga za Kondele. Je, vuruguzu hizo zilichochewa kisiasa anavyodai? Na je, Ruto alifanya makosa kumshtumu Odinga katika ngome yake? Adha, Wakenya wanahisi kwamba Kalonzo Musyoka amekosa mwelekeo na wakati umefika kwake kutangaza wazi msimamo wake wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Vilevile, Nick Mwendwa atakiwa kueleza jinsi amekuwa akiendesha shughuli za FKF. Wanahabari wetu, John Mbuthia wa Nyeri, Washington Onyango wa Kisumu na Moses Kiraese wa Pokot Magharibi wameshiriki gumzo na Wakenya kuhusu masuala haya.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Nairobi's Middle-Class Must Rise Up To Salvage The City- Robert Alai
On this episode of The Situation Room, we're joined by Robert Alai, the MCA for Kileleshwa Ward, for...
.
RECOMMENDED NEWS