Gumzo la Wiki Podcast: Mawe Kondele; Ruto alaumiwa
Siasa na Gumzo
Nov. 14, 2021
Naibu wa Rais William Ruto abebeshwa lawama kuhusu vuruga za Kondele. Je, vuruguzu hizo zilichochewa kisiasa anavyodai? Na je, Ruto alifanya makosa kumshtumu Odinga katika ngome yake? Adha, Wakenya wanahisi kwamba Kalonzo Musyoka amekosa mwelekeo na wakati umefika kwake kutangaza wazi msimamo wake wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Vilevile, Nick Mwendwa atakiwa kueleza jinsi amekuwa akiendesha shughuli za FKF. Wanahabari wetu, John Mbuthia wa Nyeri, Washington Onyango wa Kisumu na Moses Kiraese wa Pokot Magharibi wameshiriki gumzo na Wakenya kuhusu masuala haya.
RELATED EPISODES
Hasla Akosa Usingizi Kufuatia Gharama ya Maisha | Siasa na Gumzo Podcast
Uteuzi wa Makatibu Wazua Tumbojoto, Raila akitaka Waluke Kuachiliwa | Siasa na Gumzo Podcast
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...Nairobi's Middle-Class Must Rise Up To Salvage The City- Robert Alai
On this episode of The Situation Room, we're joined by Robert Alai, the MCA for Kileleshwa Ward, for...LATEST PODCAST
-
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?
-
Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS
-
Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
-
Shaping Tomorrow: The 7th Annual Africa Conference on Social Entrepreneurship at Tangaza University
-
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama