Gumzo la Wiki Podcast: UDA yadai kwamba kamatakama ya wanaohusishwa na chuki inawalenga wanachama wake, kunani? OKA nayo yaonekana kuchanganyikiwa kuhusu siku ya kumtangaza mgombea wa urais,

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Wanasiasa kadhaa wamekamatwa kwa kuhusishwa na matamshi ya uchochezi. Swali ni je, kuna mapendeleo jinsi UDA inavyodai? Je, ni kamatakamata kwa kigezo cha mirengo ili kuleta usawa wa kisiasa? Aidha, Rais Kenyatta alifanya mkutano katika Ikulu na viongozi wanaounga mkono Azimio la Umoja akiwamo Raila ambapo wote walipigia debe Mswada wa Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Kisiasa. Vigogo wa OKA walisusia mkutano huo wa Ikulu, licha ya kualikwa. Je, hatua yao inatoa picha gani?Vilevile, inadaiwa kwamba huenda Mudavadi akajiunga na Ruto, na Kalonzo kujiunga na Raila. Ikitokea hivyo, utapande gani utakuwa na nguvu? Masuala haya na mengine ndiyo yanayolipamba Gumzo la Maisha likiletwa kwako na wanahabari wetu, John Mbuthia akiwa Nyeri, Rose Mukonyo wa Machakos na Moses Kiraese wa Pokot Magharibi.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Epilepsy: Here Is All You Need To Know
In this Health and Wellness Podcast episode, host Zaitun Ali interviews Dr. Bryan Tabani, Chief Clin...
.
RECOMMENDED NEWS