Siasa Podcast; Ni kwanini viongozi wengi hasa wawakilishi wadi wametemwa katika michujo za vyama?
Siasa na Gumzo
Apr. 20, 2022
Mchujo wa vyama vya kisiasa unapoendelea, lipo jambo moja bainifu kuhusu matokeo kuhusu ngome za Naibu wa Rais William Ruto kulinganishwa na ngome ya Raila Odinga. Kwenye eneo la Bonde la Ufa ambako Ruto ana ufuasi mkubwa, baadhi ya wanasiasa wenye tajriba wamelambishwa sakafu huku vijana wengi wakiingia ulingoni. Na huko Nyanza, wanasiasa wengi waliokuwapo uongozini wamedumishwa hasa katika nyadhifa za ubunge, useneta na ugavana. Aidha, katika ngome zote mbili, idadi kubwa ya wawakilishi wadi waliokuwapo wamelambishwa sakafu na wapya kushinda tiketi. Hali hii inamaanisha nini kisiasa? Beatrice Maganga analiangazia suala hili.
RELATED EPISODES
Hasla Akosa Usingizi Kufuatia Gharama ya Maisha | Siasa na Gumzo Podcast
Uteuzi wa Makatibu Wazua Tumbojoto, Raila akitaka Waluke Kuachiliwa | Siasa na Gumzo Podcast
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...Nairobi's Middle-Class Must Rise Up To Salvage The City- Robert Alai
On this episode of The Situation Room, we're joined by Robert Alai, the MCA for Kileleshwa Ward, for...LATEST PODCAST
-
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?
-
Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS
-
Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
-
Shaping Tomorrow: The 7th Annual Africa Conference on Social Entrepreneurship at Tangaza University
-
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama