Sepetuko Podcast; FKF imekuwa kaburi la kuzika vipawa vya soka
Sepetuko
Nov. 16, 2021
Vijana wakiwa shuleni ni mashujaa katika kucheza soka. Lakini punde wakishajiunga na sekta ya soka nchini vipawa hufa; sababu ni FKF kutowapa nafasi watu wanaoweza kuongoza soka kwa roho safi ili kuboresha viwango vya mchezo huo nchini.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa