Sepetuko Podcast; Kumzuia Miguna Miguna kunaipa serikali sifa mbaya

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Suala la raia wa Kenya kila mara kukwama katika viwanja vya ndege barani ulaya, huku ikidaiwa kwamba serikali ya Kenya imemzuia asirejee nchi aliyozaliwa, linaifanya Kenya kuchekwa na mataifa ya wazungu; ni hali inayochangia katika utani dhidi ya waafrika!

Share this episode
Mateso ya Wakenya Saudia; serikali iingilie | Sepetuko
Kwa miaka mingi, Wakenya wanaokwenda Uarabuni, hasa Saudi Arabia kwa kazi za nyumbani wamekuwa wakit...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS