Sepetuko Podcast; Wafanyakazi wadogo kubebeshwa mzigo wa makosa ya wakubwa!
Sepetuko
Nov. 22, 2021
Kamati inayoongoza shughuli za kufufua Kenya Power yakiuka haki za wafanyakazi kwa kuwaitisha habari za akaunti zao za benki na mpesa. Ni mara nyingine tena ambapo wafanyakazi wadogo wanabebeshwa mzigo wa makosa ya mameneja!
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa