Sepetuko Podcast; George Kinoti ajipeleke jela ahudumie kifungo kwanza!

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Ni vigumu kwa afisa wa serikali ambaye mahakama imemtaja kuwa mfungwa kuendelea kuhudumu katika idara muhimu kwenye utaratibu wa kulinda sheria nchini -DCI. Itakuwa vigumu kwa mahakama kukubali saini zake kwenye rekodi za kesi zinazowasilishwa na idara ya upelelezi wa jinai.

Share this episode
Mateso ya Wakenya Saudia; serikali iingilie | Sepetuko
Kwa miaka mingi, Wakenya wanaokwenda Uarabuni, hasa Saudi Arabia kwa kazi za nyumbani wamekuwa wakit...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS