Sepetuko Podcast; Uchumi wa Fuliza sio utajiri!
Sepetuko
Dec. 03, 2021
Rais katangaza kwamba Kenya sasa ni namba 6 kwa utajiri barani Afrika, Je utajiri huo uko wapi? Je upo miongoni mwa wakenya wanaotegemea mikopo ya Fuliza? Mbona magazeti yamejaa matangazo ya madalali kuuza mali ya watu wanaoshindwa kulipa mikopo ya benki?
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa