Sepetuko Podcast; Mbona hamkumtaja BABA kuwa msaliti, mbona akawa Mudavadi?
Sepetuko
Jan. 28, 2022
Tangazo la Mudavadi Jan 23 kushirikiana na mwalimu Ruto (PhD) limechukuliwa vibaya kuliko tangazo la Raila Machi 9 2018 kushirikiana na rais Kenyatta- ajabu ni kwamba wote wamewasaliti wenzao
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa