Ruto alishinda, yasema Mahakama; kazi yamsubiri | Sepetuko
Sepetuko
Sep. 15, 2022
Baada ya Mahakama ya Upeo kutupilia mbali kesi za kupinga ushindi wa William Ruto, sasa anacho kibarua cha kuiongoza Kenya, kuwaunganisha wote na kutekeleza ahadi alizotoa. Dalmus Sakali anasimulia.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa