Uchaguzi wa amani Kenya | Sepetuko
Sepetuko
Sep. 15, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Wakenya walishiriki uchaguzi mkuu wa Agosti 9, mwaka wa 2022 kwa amani. Ni mfano wa kuigwa kote Afrika. Dalmus Sakali anakupa uhondo katika makala ya Sepetuko.
RELATED EPISODES
Nini cha Kufanya Wakati wa Mafuriko
Mafuriko Yanabainisha Udhaifu wa Serikali na Miundombinu Duni
Huduma za Afya Zimepooza kwa Siku 40: Serikali Inawajali Wakenya Kweli?
Kifo cha CDF Ogolla Kimezua Maswali Mengi; Wakenya Wadai Majibu
Share this episode