Ruto Aambia Dunia KQ ni Ghali Kuliko Ndege Binafsi
Sepetuko
May. 27, 2024
Rais William Ruto amejitetea kuhusiana na hatua yake kutumia ndege ya kibinafsi kusafiri hadi nchini Marekani, akidai kuwa kufanya hivyo kulikuwa kwa gharama ya chini kuliko kutumia ndege za Shirika la Ndege la Kenya Airways. Kujitetea huku kuionesha serikali hii kuwa isiyojali kuhusu utunzaji wa Mali ya umma na pia maafisa wakuu wa serikali hawana Imani na huduma zinazotolewa katika mashirika ya serikali kama KQ. Inasikitisha mno!
RELATED EPISODES
Pengo Kubwa katika Bajeti ya 2024/2025
Kuwajibika kwa Mafao ya Rais Mstaafu: Je, Jopo ni Lazima?