Ruto Aambia Dunia KQ ni Ghali Kuliko Ndege Binafsi

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Rais William Ruto amejitetea kuhusiana na hatua yake kutumia ndege ya kibinafsi kusafiri hadi nchini Marekani, akidai kuwa kufanya hivyo kulikuwa kwa gharama ya chini kuliko kutumia ndege za Shirika la Ndege la Kenya Airways. Kujitetea huku kuionesha serikali hii kuwa isiyojali kuhusu utunzaji wa Mali ya umma na pia maafisa wakuu wa serikali hawana Imani na huduma zinazotolewa katika mashirika ya serikali kama KQ. Inasikitisha mno!

Share this episode
They Threaten To Arrest Me If I Go Back To Zimbabwe- Job Sikhala, Opposition Leader
Step into the Situation Room podcast and join us for an exclusive interview with Job Sikhala, the Zi...
Exploring How Kenya's Finance Bill Impacts Its Youth
In today's Z Tribe podcast episode, journalists Tasmima and Vanessa talk of the Finance Bill impact ...
.
RECOMMENDED NEWS