Safari ya Haki: Balozi wa Uingereza Azuru Kenya Kutafuta Ukweli kwa Agnes Wanjiru
Sepetuko
May. 24, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Ziara ya Balozi wa Uingereza Nchini Kenya kwa familia ya Mkenya Agnes Wanjiru aliyetuhumiwa kuuliwa na mwanajeshi wa Uingereza kwenye kambi ya Jeshi ya Uingereza iliyoko Nanyuki uwe mwanzo wa kupatikana kwa haki kwa Wanjiru na waathiriwa wengine wa hujuma mikononi mwa wanajeshi wa Uingereza waliomo nchini.
RELATED EPISODES
Pengo Kubwa katika Bajeti ya 2024/2025
Kuwajibika kwa Mafao ya Rais Mstaafu: Je, Jopo ni Lazima?
Share this episode