Kifo cha CDF Ogolla Kimezua Maswali Mengi; Wakenya Wadai Majibu
Sepetuko
Apr. 22, 2024
Kweli ajali haina kinga. Hata hivyo tukio la Jenerali wa Jeshi la Nchi kufariki kwenye ajali ya ndege, akiwa ndani mwa nchi yake, ni jambo ambalo lazima lichunguzwe. Je, kunao waliolala kazini kiasi cha kuruhusu tukio hili kutokea au ni ajali tu kama ajali nyingine? Lazima pafanyike uchunguzi wa kina kubaini kilichojiri.
RELATED EPISODES
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?
Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
Kenyan Sibling Engagement Stirs Debate
Catch up on the week's headlines with us on In Case You Missed It. This episode explores a story spa...Building a Billion-Dollar Future: The Inspiring Journey of Mary Njoki, Founder of Glass House PR
What's Your Story with Mary Njoki, Founder of Glass House PR. This episode of What's Your Story feat...LATEST PODCAST
-
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
-
60 Years of Kenya-US Diplomatic Relations???? - Amb. Meg Whitman
-
Nairobi's Middle-Class Must Rise Up To Salvage The City- Robert Alai
-
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?
-
Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS