Mgogoro wa Madaktari Unahatarisha Maisha ya Wengi
Sepetuko
Apr. 17, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Mgomo wa madaktari umetimiza sasa siku 35, naam majuma matano. Hakuna mwafaka wowote wa aina yoyote, na mwananchi anayetegemea huduma za afya katika hospitali za umma ndiye anaumia. Nani atamjali raia huyu?
RELATED EPISODES
Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?
Share this episode