Usalama Barabarani: Kila Mtu Akiwajibika Kupunguza Ajali
Sepetuko
Apr. 08, 2024
Description - Maelfu ya Wakenya wanaendelea kuaga dunia nchini kutokana na ajali barabarani. Familia zinaendelea kupoteza wapendwa wao kwa mnyama huyu anayeweza kuepukika. Ni wakati sasa sote tuwajibikie usalama barabarani -madereva, watumiaji wa miguu, wahudumu wa bodaboda na raia wengine. Jukumu la usalama barabarani sasa lazima liwe letu sote.
RELATED EPISODES
Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025: Je, Ni mzigo Mpya Kwa Wananchi?
Kenya Kwanza Gov't Is Sabotaging Itself, We Should Stop Blaming Uhuru- Gathoni Wamuchomba
Join us on the Situation Room podcast for an engaging discussion with the passionate Gathoni Wamucho...Why is the Finance Bill 2024/2025 The Talk of Town?
Welcome to the latest episode of the "In Case You Missed It" podcast! Join us as we discuss the hotl...LATEST PODCAST
-
Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?
-
WILLIS OTIENO: Kenya Kwanza Leaders Wear Gucci and Balenciaga While Kenyans Suffer
-
Building a Billion-Dollar Future: The Inspiring Journey of Mary Njoki, Founder of Glass House PR
-
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
-
60 Years of Kenya-US Diplomatic Relations???? - Amb. Meg Whitman