Mgomo wa Madaktari: Wananchi Waathirika, Suluhisho Lahitajika Haraka

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Vitisho vinavyotolewa na Waziri wa Afya Susan Nakhumicha na Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja dhidi ya madaktari wanaogoma si sahihi. Havitoi suluhisho kwa mgomo huu ambao umelemaza shughuli katika hospitali za umma nchini. Wanaoumia ni wananchi wanaotegemea huduma hizi na hawana pesa za kutafuta huduma katika hospitali binafsi. Serikali itafute suluhisho la kusitisha mgomo huu mara moja.

Share this episode
Diabetes & Hypertension: Here Is All You Need To Know About This Lifestyle Diseases
This episode of the Health and Wellness Podcast tackles two major lifestyle diseases: diabetes and h...
Special Boxing Podcast
Join former Makadara MP and accomplished boxer, Reuben Ndolo, as he delves into the intricacies of K...
.
RECOMMENDED NEWS