Mgomo wa Madaktari, Ukosefu wa Ajira, Ufisadi Vyaongezea Huzuni kwa Wakenya: SEPETUKO

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Umoja wa Mataifa juzi umetoa orodha ya mataifa yenye furaha zaidi duniani. Finland kwa mara nyingine tena imeibuka nafasi ya kwanza, kutokana na huduma bora wananchi wa taifa hilo wanapata kutoka kwa serikali. Kenya iko katika nafasi ya 114 duniani. Sepetuko inakiri kuwa Wakenya wengi hawana furaha kutokana na ugumu wanaopitia, huku serikali ya siku ikionekana kutojali. Wakenya watafurahi vipi wakati madaktari wanaendelea na mgomo, nafasi za ajira hazipo nchini, ufisadi umesheni serikalini, fedha za kufadhili elimu zinacheleweshwa miongoni mwa masaibu mengine.

Share this episode
ALFRED KETER: Politicians Are Being Manipulated By Money To Assent To Anything
Have politicians become puppets on a string? In this episode of Situation Room, we discuss this with...
Special Boxing Podcast
Join former Makadara MP and accomplished boxer, Reuben Ndolo, as he delves into the intricacies of K...
.
RECOMMENDED NEWS