Mgomo wa Madaktari: Serikali Yalaumiwa Kwa Kupuuza Afya ya Wananchi
Sepetuko
Mar. 15, 2024
Mgomo wa madaktari unaoendelea nchini unaionesha serikali kuwa isiyomjali raia. Afya ni kiungo muhimu katika uhai wa binadamu, hivyo serikali lazima ifanye kipaumbele suala la kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma bora za matibabu. Ni muhimu kwa serikali kufanya mazungumzo na vyama vya madaktari ili kuhakikisha mwananchi hataabiki kupata huduma za matibabu.
RELATED EPISODES
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi
Hatari Zinazokumba Jamii: Athari za Mafuriko kwa Makazi karibu na Mito
Kutenga Fedha kwa Ajili ya Waathiriwa wa Mafuriko: Wito wa Uwajibikaji
Face To Face With A Traffic Offence: What To Do
Join us on the Situation Room Podcast for a must-hear episode as we discuss traffic offenses. This t...Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
Join us on this week's episode of 'In Case You Missed It' as we delve into pressing issues and inspi...LATEST PODCAST
-
Shaping Tomorrow: The 7th Annual Africa Conference on Social Entrepreneurship at Tangaza University
-
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
-
MARTHA KARUA: Ruto's Is Trying To Prevent The People of Mt. Kenya From Coming Together.
-
Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi
-
Special Boxing Podcast