Mgomo wa Madaktari: Serikali Yalaumiwa Kwa Kupuuza Afya ya Wananchi

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mgomo wa madaktari unaoendelea nchini unaionesha serikali kuwa isiyomjali raia. Afya ni kiungo muhimu katika uhai wa binadamu, hivyo serikali lazima ifanye kipaumbele suala la kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma bora za matibabu. Ni muhimu kwa serikali kufanya mazungumzo na vyama vya madaktari ili kuhakikisha mwananchi hataabiki kupata huduma za matibabu.

Share this episode
Face To Face With A Traffic Offence: What To Do
Join us on the Situation Room Podcast for a must-hear episode as we discuss traffic offenses. This t...
Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
Join us on this week's episode of 'In Case You Missed It' as we delve into pressing issues and inspi...
.
RECOMMENDED NEWS