Kenya Kusaidia Haiti- Je, Ni Kafara au Ushujaa?: Sepetuko
Sepetuko
Mar. 11, 2024
Marekani imeanza kuwaondoa nchini Haiti raia wake wanaofanya kazi kwenye Ubalozi wake nchini humo. Wakati uo huo, serikali ya nchi inaiomba Kenya kuharakisha mchakato wa kuwatuma maafisa wake wa polisi kuenda kudumisha usalama katika taifa hilo la eneo la Karibea. Hayo yanajiri huku magenge ya uhalifu yakiendeleza uhalifu katika nchi hiyo ya jumla ya watu milioni 11. Sepetuko inakariri kuwa kuwatuma maafisa wa polisi katika taifa hilo ni kuwatoa kafara wana wetu. Mbona serikali isifanye kipaumbele usalama wa raia wake kuliko kuwatuma walindausalama zaidi ya kilomita elfu 12 kutoka Kenya?
RELATED EPISODES
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi
Hatari Zinazokumba Jamii: Athari za Mafuriko kwa Makazi karibu na Mito
Kutenga Fedha kwa Ajili ya Waathiriwa wa Mafuriko: Wito wa Uwajibikaji
Kidney Transplant: Surgery, Purpose, Procedure & Recovery: Health & Wellness Podcast
Welcome to the Health and Wellness podcast. Today's episode features special guests Dr. Twahir Ahmed...Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
Join us on this week's episode of 'In Case You Missed It' as we delve into pressing issues and inspi...LATEST PODCAST
-
Shaping Tomorrow: The 7th Annual Africa Conference on Social Entrepreneurship at Tangaza University
-
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
-
MARTHA KARUA: Ruto's Is Trying To Prevent The People of Mt. Kenya From Coming Together.
-
Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi
-
Special Boxing Podcast