Jinsi muda unavyosonga na uchaguzi mkuu ujao kukaribia, siasa zinazolenga uchaguzi mkuu mwaka ujao zinaendelea kuchacha huku mbunge wa Eldoret kaskazini  William Ruto akishikilia kwamba atawania urais.  Chama kipya cha UDM kikiongozwa na  naye  vile vile kinaendelea kupata umaarufu, miongoni mwa wanasiasa.


2012 politics/Ruto mombasa