Harmonize.

Former Wasafi signee Harmonize has been forced to part ways with three of his houses and other valuable possessions in a bid to raise Tsh500 million (Sh22 million) to compensate the record label after terminating his contract.

Speaking to Clouds FM, the Kwangwaru crooner said he has been able to pay part of the money and hopes to repay the remaining balance soon.

Mkataba wangu ulikuwa unanitaka nilipe shilingi milioni 500 kama nikiondoka ili niweze kupata hakimiliki ya jina langu pamoja na nyimbo zangu. Hivyo sikuwa na hela kabisa. Nimeuza nyumba zangu tatu na baadhi ya mali, deni limebaki kidogo,” he said.

Even though his relationship with Wasafi the management is not as good as before, Harmonize went on to explain that his intentions to take back his music rights is so that he can work as an independent artiste and not disrespect the label, as rumoured.

 “Ukweli hatupo sawa na uongozi uliopita, sitaki kusema uongo, mahusiano yangu na uongozi uliopita sio kama zamani. Naomba niwashukuru  kwa sababu wao ndo wamesababisha mimi kuwa hapa! Japokuwa kuna matatizo ya ndani ambayo siwezi kuyasema hadharani nimeamua kufanya kazi kama msanii huru lakini sipendi kuwavunjia heshima,” he continued.

Months after ditching WCB, Konde Boy went ahead and started his own music record label, Konde Music Worldwide.

Through his new label, the Paranawe hitmaker hopes to change the lives of young upcoming and ambitious artists in Tanzania.