Msanii wa kike kutoka Tanzania Rehema Chalamila ukipenda Ray C baada ya kukamilisha mfungo wake wakujinasua kutokana na madawa ya kulevya yaani rehab kutoka,serikali ya Tanzania ilimkabidhi fursa ya kuelekea marekani kwa mapumziko kwa zaidi ya miezi mitatu kwa ajili ya kumuepusha na uraibu uliompelekea yeye nusura kupoteza maisha yake.
Rais Kikwete aliweza kumfadhili na daktari wa kibinafsi pamoja na ziara hio ya marekani...Ray C anatarajia kuangusha kazi yake mpya hivi karibuni.
READ MORE
Omollo, Protect students from drugs during holiday
African Union Commission taps Kikwete to lead peace push in Horn of Africa
Kenya calls for urgent global action as new drug threats emerge
Mental health, alcohol and substance abuse tax relief: How it works