Wasichana watatu wa shule ya msingi wamebakwa kwa siku tatu mfululizo baada ya kutekwa nyara na wanaume watatu katika kaunti ya Kitale. Wasichana hao walikuwa wakielekea kwa mazishi ya jamaa

yao walipofumaniwa na wanaume hao waliowafungia ndani ya chumba chao kwa takriban siku tatu. ilichukua juhudi za wakaazi wa eneo

hilo wakiwa wameandamana na maafisa wa polisi kuwanasa washukiwa hao waliokuwa wakiendeleza kitendo hicho.