Kenyan Gospel artiste Annastacia Mukabwa has disclosed fresh details about Tanzanian songbird Rose Muhando.
According to Mukabwa, Muhando is recuperating well in a Nairobi hospital where she has been admitted for several days.
She went ahead to reveal to Mzazi Willy M Tuva that Muhando was of great impact to her musical career and thus she took the initiative of taking her to Hospital.
“Singependa nitokee kwa Media kwamba ni mimi naongea juu ya Rose. Kuna madaktari nilikuwa nimezungumza nao na wakaniambia kuwa mgonjwa akiwa katika hali ambayo Rose aliyokuwa nayo atakuavoid. Kumpeleka hospitali haikuwa rahisi, mungu alinisadia maana Furaha yangu na lengo langu ilikuwa Rose afike hospitali. Lakini tulijaribu juu chini mpka nikamfikisha hospitalini. Najua hospitalini atasaidika,” said Mukabwa.
She also commented on the viral video of Rose Muhando at Pastor James Ng’ang’a’s church where she was being ‘delivered’ from ‘demons'.
“Hii video ikitoka , nilikuwa nimesha fanya juhudi nimempeleka hospitalini. Kwa hiyo hajui chochote kuhusu hiyo video. Ni sisi tu tunazungumza huku. Singependa sana kuongea, ningependa apone ili yeye mwenyewe aje kuzungumza ambacho Mungu ametenda,” added Mukabwa.
Would you like to get published on Standard Media websites? You can now email us breaking news, story ideas, human interest articles or interesting videos on: standardonline@standardmedia.co.ke