Maina Njenga aachiliwa kwa dhamana
By Standard Digital
| Apr. 26, 2012
Aliyekuwa kiongozi wa kundi haramu la Mungiki Maina Njenga na washukiwa wengine wanne wameachiliwa kwa dhamana ya shilingi Sh200,000 kila mmoja baada ya kufikishwa mahakamani wakikabiliwa kosa la wizi wa mabavu.