Huku dimba la dunia likiingia mkondo wa robo fainali,  uholanzi itafungua udhia dhidi ya Brazil huku Uruguay na wawakilishi wa bara Afrika

Ghana wakigaragazana kujua mbivu na mbichi katika uga wa soccer city.Mashabiki wengi nchini wanahisi kwamba dimba hili huenda likarejea bara la marekani kusini huku uhispania pia wakipigiwa upatu.