Kampuni ya huduma za simu ya Safaricom sasa imedokeza kuwa wateja wake amabao wamesajiliwa kwa huduma za malipo ya baadaye au post pay na wale wanotumia huduma ya m-pesa hawatalazimishwa kujisajilisha tena katika mpango wa usajili wa laini za simu amabao unaendelea kwa sasa.
Safaricom On Sim Card Registration
By Standard Digital
| Jun. 25, 2010