Budalangi dam controversy - Swahili
By Standard Digital
| Aug. 15, 2011
Wenyeji wa kaunti ya Bungoma wakiongozwa na mbunge wa kimilili Dkt. Eseli Simiyu wamepinga vikali mradi wa kujenga bwawa la maji katika mto nzoia; bwawa ambalo lingejengwa lingeokoa mafuriko ya mara kwa mara katika eneo la Budalang'i.