Wakaazi ya mkoa wa kaskazini mashariki wameshutumu serikali kwa kupiga siasa na kuwasahau hasa wakati huu wanapokabiliwa na njaa na ukame ambao sasa unatishia maisha ya wakaazi wa eneo

hilo. Maelfu ya wenyeji wamehama kutoka eneo

hilo katika harakati ya kuepuka makali ya njaa na kuwaacha kina mama na watoto wachanga wakiathirika pakubwa. Saddique Shaban anatusimulia jinsi ambavyo hali inazidi kuwa mbaya kote mkoani humo