Kinara wa Chama cha CCM, Isaac Rutto amesisitiza kwamba anamuunga mkono Naibu wa Rais, William Ruto kutokana na sera zake wala si kwa sababu anatoka Jamii ya Kalenjin.
Akihutubu katika Kaunti ya Bomet, Ruto aidha ameendelea kushtumu kauli ya Rais Uhuru Kenyatta kwamba nafasi ya uraisi inapaswa kuwachia makabila mengine nchini.
Wakati uo huo, ameitaka serikali kushughulikia maslahi ya wahudumu wa afya wanaogoma ili kuwasitishia wananchi mahangaiko.
Ikumbukwe Ruto ndiye gavana wa kwanza wa Bomet.
READ MORE
Gachagua impeachment was a parliamentary coup, court told
Ruto suffers the blushes after 'tendering' Tanga refinery without Suluhu
Dear Ruto, this is how to make the mountain vote for you again in 2027
President Ruto quietly pushing campaign for Njoki Ndungu's ICC Judgeship