×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Raila Odinga atatumia usuhuba wake na marais wa mataifa ya DRC na Tanzania kuimarisha miraa

19th October, 2021

Kinara wa ODM Raila Odinga ameahidi kuimarisha soko la miraa la humu nchini na lile la kimataifa iwapo atachaguliwa kuliongoza taifa mwaka ujao. Akizungumza katika ziara yake ya eneo la Meru Odinga amesema atatumia usuhuba wake na marais wa mataifa ya DRC na  Tanzania kuimarisha soko la zao hilo. Viongozi wa eneo hilo wakiongozwa na gavana wa Meru kiraitu murungi kwa upande wao wamesisitiza kujitolea kwao kusukuma azma ya odinga kumrithi rais Uhuru Kenyatta.

.
RELATED VIDEOS