.
22nd September, 2020
Tume kuhusu huduma ya bunge itaelekea mahakama kuu kupinga ushauri wa jaji mkuu david maraga kwa rais Uhuru Kenyatta kuvunja bunge kwa kukosa usawa wa jinsia.Mwenyekiti wa tume hiyo ambaye pia ni spika wa bunge la taifa Justin Muturi amesema iwapo hatua ya jaji Maraga huenda ikazua mtafaruku wa kisheria. Geff kirui na maelezo zaidi.