×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tathmini ya COVID-19: Wakenya 123 zaidi waambukizwa virusi vya COVID-19

3rd June, 2020

Mvulana wa miaka 12 ni miongoni mwa waathiriwa 3 waliofariki katika saa 24 zilizopita kutokana na virusi vya korona huku idadi ya watu 123  kati ya sampuli 2, 112 kuthiibitishwa kuwa na virusi vya korona. Hatahivyo, wagonjwa 54 zaidi wamepona na kufikisha idadi ya wagonjwa 553 waliopona kwa sasa.

.
RELATED VIDEOS