.
25th May, 2020
Laurent Desire Kabila anakumbukwa kuwa rais wa tatu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Kongo DRC baada ya kuutimua utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mobutu Seseseko. Katika makala ya mirathi ya siasa sehemu ya kwanza tunaangazia maisha ya Laurent Kabila tangu alipoanza mapigano hadi alipoapishwa mei 1997.