×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sossion asema kuwa Magoha ameitenga KNUT kutoka kwa kamati ya kupanga ufunguzi wa shule nchini

14th May, 2020

Kufunguliwa kwa shule baada ya kufungwa kwa ajili ya janga la Korona, kutategemea mapendekezo ya kamati maaalum iliyobuniwa na Waziri wa Elimu, Profesa George Magoha, kuangazia athari za Korona kwenye sekta ya Elimu.

Kamati hiyo inawahusisha wanachama tisa wakiwa chini ya uenyekiti wa mwenyekiti wa taasisi ya kutunga na kukuza mitaala nchini, DKT Sarah Ruto.

Hata hivyo chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini, KNUT, kimezua maswali baada ya miungano ya walimu kupuuzwa kwenye mchakato mzima.

.
RELATED VIDEOS