×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Binti mmoja akamatwa huko Migori kwa madai ya kutaka kuwauza watoto

28th February, 2020

Binti Mmoja Mwenye Umri Wa Miaka Ishirini Na Mitatu Mjini Migori Ametiwa Mbaroni Baada Ya Kupatikana Akijaribu Kuwauza Wanawe Wa Umri Wa Miaka Minne Na Miaka Miwili. Inadaiwa Trizah Mossian Alitaka Kuwauza Watoto Hao Kwa Kima Cha Shilingi Laki Nne Ili Kununua Ardhi Na Vile Vile Kukimu Mahitaji Ya Pacha Wake Ambao Pia Ni Wadogo. Trizah Anadai Bwanake Alimwachia Watoto Na Kutoroka.

.
RELATED VIDEOS