.
1st February, 2020
Sherehe za kitamaduni zilifanywa hivi leo nairobi ambazo ni za vikosi vya jeshi nchi kumi kutoka afrika kusini na afrika mashariki zilihudhuria sherehe hizo ambazo zilikuwa na maonyesho ya vyakula mbalimbali na densi zao tofauti . Meja generali M.K Ong'oyi asema kuwa sherehe hizi itaimarisha na kuendeleza uhusiano nzuri kati ya kenya na nchi nyingine Afrika.pia, zitawahamasisha watu kuithamini utamaduni wao na maadili ya nchi nyingine.