.
27th January, 2020
Kiwanda cha kusaga miwa cha kwale kimerejelea shughuli zake baada ya kufungwa na serikali kwa zaidi ya mwaka mmoja Halmashauri ya kukagua ubora wa bidhaa ya KEBS ilikuwa imefunga shughuli za kampuni hiyo kwa madai kwamba ilikuwa na sukari ghushi.