×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Walimu 3 wauawa kwa kupigwa risasi katika shambulizi Garissa

13th January, 2020

Siku chache baada ya wanafunzi kuuawa huko Saretho kufuatia shambulizi la Al shabaab, walimu watatu wameuawa usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha kamuthey kaunti ya Garissa  Akithibitisha kisa hicho mratibu wa usalama Kaskazini Mashariki Nicodemus Ndalana amesema juhudi za kuwatafuta wanamgambo hao zinaendelea. Hamza yussuf amerejea kutoka kamuthey Garissa.

.
RELATED VIDEOS