.
7th January, 2020
Wakili Miguna Miguna amezuiliwa kusafiri humu nchini kwa mara nyingine serikali ya kenya ikitoa tahadhari kwamba asiondoke ujerumani kuelekea uwanja wa kimataifa wa JKIA au nchi yoyote ya Afrika. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu geff kirui wizara ya masuala ndani na ile ya musuala ya nchi za nje iliafikia kwenye mkutano wao kwamba ni sharti Miguna Miguna awe na pasipoti ya Kenya ili aruhusiwe kuingia nchini.