Michuano ya Vikapu yarejea nchini, Morans yajiandaa kufuzu michuano hiyo
4th January, 2020
Timu Ya Taifa Kenya Morans Itajizatiti Kufuzu Kwa Mashindano Ya Afrobasketball Yatakayotumika Kama Kiunzi Cha Kufuzu Mashindano Ya Olympiki Mwaka 2024 Na Michuano Ya Kombe La Dunia.