.
18th December, 2019
Shule ya upili ya Moi Kabarak imekuwa ya nne kote nchini katika kitengo cha shule zilizo na alama ya a baada ya watahiniwa 30 kupata alama hiyo. Walimu na wazazi aidha wameeleza furaha yao kuhusu matokeo hayo baada Ezra Kizito kuibuka wa sita kote nchini.