10th December, 2019
Kanisa La Katoliki La Kiembeni Huko Mombasa Lilifanya Sherehe Za Kitamaduni Kusherehekea Tamaduni Za Kila Jamii Ya Waumini Katika Kanisa Hilo. Lengo Kuu La Sherehe Hiyo Ni Kuzileta Pamoja Jamii Hizo Kuishi Kwa Amani Na Upendo. Askofu Martin Kivuva Hata Hivyo Amesema Sherehe Hiyo Ilibuniwa Baada Ya Uchaguzi Wa Mwaka 2017 Uliogawanya Jamii.