10th December, 2019
Serikali Imefunga Kivutio Cha Utalii Cha Hells Kitchen Huko Magarini Kaunti Ya Kilifi Kufuatia Vitisho Vya Shambulizi La Kigaidi. Eneo Hilo Linafahamika Tangu Miaka Na Mikaka Iliyopita, Na Limekuwa Likihifadhiwa Na Jamii Kwa Zaidi Ya Miaka Ishirini Kama Kivutio Cha Watalii. Inadaiwa Tatizo Lilizuka Pale Jamii Ilipokosa Kutoa Malipo Ya Kila Siku Ya Elfu Tatu Kwa Maafisa Wanaolinda Eneo Hilo Kisha Wakaondolewa. Baadayewalipata Ujumbe Wa Kufunga Kivutio Hicho Cha Utalii Kwamisingi Kwamba Ilikuwa Rahisi Sana Magaidi Kuvamia Watalii.