.
25th November, 2019
Kinyang'anyiro cha wadhifa wa urais katika chama cha wanasheria nchini LSK kimeng'oa nanga.
Wawaniaji wanne wamewasilisha karatasi zao kwa nafasi hiyo, miongoni mwao wakiwa ni pamoja na naibu rais wa chama hicho Harriet Chaggai, Maria Mutua ambaye ni mkewe Gavana wa Laikipia, mwengine akiwa ni wakili wa mahakama kuu Nelson Havi.