25th November, 2019
Idadi Ya Watu Waliofariki Katika Maporomoko Ya Udongo Kaunti Ya Pokot Magharibi Imeongezeka Na Kufikia Watu 52. Gavana Wa Kaunti Hiyo John Lonyangapuo Sasa Ametoa Wito Kwa Serikali Ya Kitaifa Kutoa Msaada Zaidi Kwa Maelfu Ya Watu Ambao Wameachwa Bila Makao Katika Mkasa Huo.